Nafasi Ya Matangazo

June 06, 2013

 
Hili ndilo kaburi la Msanii Albert Mangweha aliyefariki ghafla Mei 28, mwaka huu nchini Afrika Kusini na kuzika leo Kihonda mkoani Morogoro.
 
M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea.

Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
Posted by MROKI On Thursday, June 06, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo