Nafasi Ya Matangazo
Showing posts with label UCHAGUZI. Show all posts
Showing posts with label UCHAGUZI. Show all posts

January 30, 2024

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji (R) Jacobs Mwambegele (kushoto) akiongoza kikao cha Tume jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine kiliteua madiwani watano (5) wanawake wa viti Maalum. Pamoja nae ni  Katibu wa Tume na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima. 
 Wajumbe wa Tume wakiendelea na kikao cha Tume jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine kiliteua madiwani watano (5) wanawake wa viti Maalum. 








Posted by MROKI On Tuesday, January 30, 2024 4 comments

January 29, 2024

Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yamataraji kufikia tamati Januari 30,2024.

Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yamataraji kufikia tamati Januari 30,2024.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yamataraji kufikia tamati Januari 30,2024.
 Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yamataraji kufikia tamati Januari 30,2024.

Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiwa katika picha ya pamoja. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe.Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk. Wengine waliokaa kutoka kushoto ni Mhe. Jaji Asina Omari, Mhe Balozi Omar Ramadhani Mapuri. Waliosimama kutoka kushoto ni Mhe. Jaji wa Rufaa Mwanaisha Kwariko, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Abubakar na Mhe. Magdalena Rwebangira.

Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (Kulia) na Mhe. Jaji Asina Omari wakiwa katika Banda la Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA)
Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (Kulia) na Mhe. Jaji Asina Omari wakiwa katika Banda la Mahama Kuu upande wa Mirathi.
Mjumbe wa Tume, Mhe. Magdalena Rwebangira akiwa katika Banda la wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA).
Mjumbe wa Tume,  Mhe. Jaji Asina Omari akiwa katika Banda la Chuo cha Mahama Kushoto (IJA).
Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akiwa katika Banda la Wadau wa Hakika Jinai.
Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (wapili kushoto) na Mhe. Jaji Asina Omari (kushoto) wakiwa katika Banda la Mahama Kuu upande wa Mirathi.

Posted by MROKI On Monday, January 29, 2024 No comments

January 27, 2024

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa wiki ya sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari 27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Akson na viongozi wengine mbalimbali wa Makama. Maadhimisho ya Wiki ya sharia yalianza Januari 24,2024 na yanataraji kufikia tamati Februari 1, mwaka huu. 


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele pamoja na Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa),  Mwanaisha Kwariko ni miongoni mwa watumishi wa Mahakama walioshiriki matembezi hayo. 

Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakishiriki matembezi hayo.
Majaji mbalimbali wa Mahakama ya Rufaa wakiwa katika ufunguzi wa Wiki ya Sheria. 
Meza Kuu Ikiongozwa na Mgeni Rasmi, Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wakiiamba wimbo wa Taifa.

Majaji wa Mahakama ya Rufaa wakishiriki kuimba Wimbo wa taifa na ule wa Afrika Mashariki wakati wa sherehe za ufunguzi wa Wiki ya Sheria Kitaifa iliyofanyika Januari 27,2024 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma leo. 
Picha mbalimbali za pamoja. 
Posted by MROKI On Saturday, January 27, 2024 No comments
  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo