Katibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Yusuf Makamba akimkabidhi foumu ya kugombea Urais, Rais Jakaya Mrisho kikwete katika makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo asubuhi.
Rais Kikwetwe akipeana mkono na Katibui Mkuu wa CCM Yusuf Makamba baada ya kupokea fomu hizo.
Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM taifa, akionesha fomu zake za kutetea kiti chake cha Urais baada ya kuzipokea mjini Dodoma leo.




0 comments:
Post a Comment