Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, Bungeni jijini Dodoma, Februari 4, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mbunge wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 4, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)







0 comments:
Post a Comment