Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye picha na Rais wa Angola ambaye pia Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU)
Mhe. João Lourenço, Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. John
Mahama wa pili kutoka (kushoto), Waziri Mkuu wa Msumbiji Mhe. Maria Benvinda
Levy wa kwanza (kushoto), Mwanzilishi Mwenza na Mwenyekiti Mtendaji wa GAIS na
Rais Mstaafu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina
pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa APCO Worldwide, Bi. Margery
Kraus wa kwanza (kulia) mara baada ya uzinduzi rasmi wa Jukwaa la Uwekezaji
barani Afrika (GAIS), uliofanyika Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu tarehe 03
Februari, 2026.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia
katika uzinduzi wa Jukwaa la Uwekezaji barani Afrika (GAIS), Dubai, Umoja wa
Falme za Kiarabu tarehe 03 Februari, 2026.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia
katika uzinduzi wa Jukwaa la Uwekezaji barani Afrika (GAIS), Dubai, Umoja wa
Falme za Kiarabu tarehe 03 Februari, 2026. 







0 comments:
Post a Comment