Nafasi Ya Matangazo

May 06, 2012

SIMBA YAIKUNG'UTA YANGA GOLI 5-0 KWENYE UWANJA WA TAIFA


Wachezaji wa Simba wakishagilia ubingwa baada ya kukabidhiwa kombe na Waziri Mteule wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangala
 Waziri Mteule wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangala (kushoto), akimkabidhi kombe la ubingwa wa Tanzania Bara baada ya mechi na Yanga kumalizika leo kwenye Uwanja wa Tgaifa, Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)

Wachezaji wakifurahia kombe
                                                 Simba wakishangilia ubingwa kiaina

Kocha wa Simba Milovan Circovic akiwa amebebwa na wachezaji
Wachezaji na viongozi wa Simba wakicheza mduara baada ya kuifunga Yanga mabao matano na kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara
 Wapenzi wa Simba wakishangilia ushindi wa mabao matano dhidi ya Yanga pamoja na ubingwa

 Picha na Kamanda wa Matukio Blog.
Posted by MROKI On Sunday, May 06, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo