Nafasi Ya Matangazo

March 04, 2012


Muandaaji wa Sherehe ya siku ya Mwanamke yenye mlengo wa kuadhimisha siku ya wanawake Duniani,Shamim Mwasha akizungumza machache wakati wa hafla hiyo iliyofana kwa kiasi kikubwa usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Serena,Jijini Dar es Salaam
MC wa Hafla hiyo,Dada Regina Mwalekwa akimtambulisha,Shamim Mwasha ambaye ni Muandaaji wa Sherehe ya Mwanamke yenye mlengo wa kuadhimisha siku ya wanawake Duniani iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Serena,Jijini Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Sunday, March 04, 2012 2 comments

2 comments:

  1. AnonymousMay 02, 2012

    jamani mlipendezaje yaani wanawake mling'ara kwa make up kwa kweli mlikuwa kivutio.

    ReplyDelete
  2. watu wote mlipendeza jamani, hadi raha!

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo