Nafasi Ya Matangazo

February 28, 2012

Juzi Februari 26,2012 siku ya kwanza ya kuuzwa kwa gazeti la Sunday Sun la Uingereza limeweza kununuliwa nakala milioni 3 kwa siku- Hii imeelezwa na mmiliki wake Rupert Murdoch katika tweet yake jana usiku. 

Swali: Lini gazeti (magazeti) ya Tanzania yatafika huko? au yatabaki kulalamika tu kuwa Blogs zinauwa soko lao. Tafakari- changia mawazo hapa nini kifanyike tufike huko
.
Posted by MROKI On Tuesday, February 28, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo