Nafasi Ya Matangazo

December 08, 2011



Hii ndio tuzo ya heshima kwa nhif iliyotolewa na taasisi ya hifadhi ya jamii duniani (ISSA) ya kuthamini na kutambua maboresho  maboresho na ubunifu uliotukuka kwenye huduma za afya barani Afrika.
Mkurugenzi wa NHIF Bw.Emanuel Humba akiwaonyesha wanahabari tuzo ya mshindi wa kwanza barani Afrika kwa mifuko ya hifadhi ya jamii iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA) kwenye ukumbi wa mikutano wa nhif makao makuu.
Posted by MROKI On Thursday, December 08, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo