Nafasi Ya Matangazo

June 17, 2010

Mwalimu Margaret Lubeleje (kulia) anayefundisha watoto katika Mahabusu ya watoto wadogo ya Upanga jijini Dar es Salaam akipokea msaada wa vitabu kutoka kwa Meneja wa Huduma za Jamii wa Zain Tanzania Tunu Kavishe (kushoto). Kampuni ya Zain juzi ilitoa msaada wa vitabu mbalimbali katika mahabusu hiyo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika.
Posted by MROKI On Thursday, June 17, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo