Nafasi Ya Matangazo

April 26, 2010

Kikosi cha simba kilichowanyuka Haras El Houdod ya Misri 2-1.
Kocha wa Yanga Papic katikati ya mashabiki wa Simba
Mdau Amos Makala (chini mkono kichwani) nae hakukosekana alikuwa pamoja na viongozi wa Simba.
Hawa nao gemu waliangalia
Mgsi wa simba akiwatoka walinzi wa Haras El Hodoud ya Misri.
Bango la kejeli hilo..
Huyu alitabiri goli mbili hata mpira haujaanza.
Shabiki akishangilia kwa kupuliza Vulindela.

Posted by MROKI On Monday, April 26, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo