Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro yaliyoanza leo Februari 18, 2025 ikiwa ni maandalizi kuelekea zoeazi la Uboreshaji wa Dafrati la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza kufanyika Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni kwa siku saba.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro yaliyoanza leo Februari 18, 2025 ikiwa ni maandalizi kuelekea zoeazi la Uboreshaji wa Dafrati la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza kufanyika Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni kwa siku saba.
Sehemu ya washiriki wa wa mafunzo ya siku mbili ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro yaliyoanza leo Februari 18, 2025 wakiwa katika mafunzo hayo wakisikiliza mada mbalimbali. Uboreshaji wa Daftari Mkoa wa Morogoro unataraji kuanza kufanyika Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni kwa siku saba.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro yaliyoanza leo Februari 18, 2025 ikiwa ni maandalizi kuelekea zoeazi la Uboreshaji wa Dafrati la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza kufanyika Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni kwa siku saba.
Sehemu ya washiriki wa wa mafunzo ya siku mbili ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro yaliyoanza leo Februari 18, 2025 wakiwa katika mafunzo hayo wakisikiliza mada mbalimbali. Uboreshaji wa Daftari Mkoa wa Morogoro unataraji kuanza kufanyika Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni kwa siku saba.
Na. Mwandishi Wetu
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kutunza vifaa vya uandikishaji ili viweze kuendelee kuwahudumia wananchi.
“Mnapaswa kuzingatia maelekezo yote yatakayotolewa na Tume ili muweze kuyafanyia kazi wakati zoezi litakapokuwa limeanza,” amesema.
Watendaji wa Uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Waopiga Kura kutoka Mkoa wa Morogoro wakila kiapo cha
kyjitoa uanachama na kile cha kutunza siri mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama
ya Mwanzao Morogoro, Mhe. Mbaraka Keneth Mchopa leo Februari 18, 2025 kabla ya
kuanza mafunzo ya siku mbili kuhusu uboreshaji.
0 comments:
Post a Comment