Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele
akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Morogoro unaotaraji kuanza kufanyika
Machi 01 hadi 07, 2025. Vituo vikifunguliwa kuanzia Saa 2:00 asubuhi hadi 12:00
jioni kwa siku saba.

Mkurugenzi wa Daftari na TEHAMA wa Tume, Ndg. Stanslaus Mwita akiwasilisha mada wakati wa mkutano huo hayo.

Onesho la vitendo la uandikishaji likifanywa na wataalam kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.
Washiriki mbalimbali wakiwa katika mkutano huo mkoani Morogoro.
**********************
Na.
Mwandishi WetuTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mzunguko wa 12 wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambao utafanyika mkoani Morogoro na sehemu ya mkoa wa Tanga kwa siku saba kuanzia tarehe 01 had 07 Machi, 2025.
0 comments:
Post a Comment