Nafasi Ya Matangazo

September 10, 2024

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) akizungumza wakati wa ziara yake katka Ofisi za Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Kanda ya Pwani ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na mfuko huo pamoja na taarifa ya kina ya mradi wa Tanzani ya Kidijitali wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini, Mikocheni jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Septemba, 2024.
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) akipokea taarifa kutoka kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalyanda kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na mfuko huo pamoja na taarifa ya kina ya mradi wa Tanzani ya Kidijitali wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini wakati wa ziara yake katika ofisi hizo za Kanda ya Pwani zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Septemba, 2024.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) akizungumza wakati wa ziara yake katka Ofisi za Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Kanda ya Pwani ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na mfuko huo pamoja na taarifa ya kina ya mradi wa Tanzani ya Kidijitali wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini, Mikocheni jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Septemba, 2024.
Posted by MROKI On Tuesday, September 10, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo