Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu
Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Mashaka Biteko mara baada ya
kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzindua Mkakati wa Taifa wa
Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia tarehe
08 Mei, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Naibu Waziri
Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Mashaka Biteko mara baada ya kuwasili katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC),
Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzindua Mkakati wa Taifa wa
Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia tarehe 08 Mei, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja
na viongozi mbalimbali wakati Wimbo wa Taifa ukiimbwa kwenye hafla ya uzinduzi
wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es
Salaam tarehe 08 Mei, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Mashaka Biteko mara baada ya kuwasili kwenye hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2024.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijadili jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Mei 08, 2024.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijadili jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Mei 08, 2024.
Wageni pamoja na Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa
Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es
Salaam tarehe 08 Mei, 2024.
Wageni pamoja na Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa
Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es
Salaam tarehe 08 Mei, 2024.
0 comments:
Post a Comment