Nafasi Ya Matangazo

March 12, 2019

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango (Mb) akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa , Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20, bungeni jijini Dodoma.
Baadhi ya Mawaziri na Wabunge Wakimsikiliza Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (hayupo pichani), kabla ya kuwasilishwa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa , Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20, bungeni jijini Dodoma

Posted by MROKI On Tuesday, March 12, 2019 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo