Nafasi Ya Matangazo

September 24, 2016

 Baadhi ya wafanyakazi katika matembezi ya kujenga afya

 Baadhi ya wafanyakazi katika matembezi ya kujenga afya

Baadhi ya wafanyakazi katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mashindano

Baadhi ya wafanyakazi katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mashindano



Baadhi ya wafanyakazi katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mashindano



Baadhi ya wafanyakazi katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mashindano.
*******
MATEMBEZI ya kujenga afya ya September Fun run yalifanyika jijini Dar es salaam katika maeneo ya Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha Grand Malta ambapo yaliwashirikisha wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na familia zao ambapo pia walipata fursa ya kufanya mazoezi mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha afya .


Miongoni mwa washiriki wa matembezi haya ya kilometa 10 ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TBL Group ambao wamekuwa na utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara kupitia programu ya kampuni yao inayojulikana kama Afya Kwanza ambayo inahamasisha ufanyaji wa mazoezi kwa wafanakazi na familia zao ambapo pia wamekuwa wakipimwa afya zao na kupatiwa elimu ya afya na umuhimu wa kupata lishe bora.

Posted by MROKI On Saturday, September 24, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo