Nafasi Ya Matangazo

October 19, 2015

Familia ya marehemu Andrea Joseph Salema inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao Linus Andrea Salema kilichotokea tarehe  18.10.2015 katika hospitali ya Moravian –Sikonge Tabora.
 
Mipango ya mazishi inafanyika Tabata Mawenzi nyumbani  kwa Bw.Shanel Andrea Moshy na mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumatano kijijini  Kilema Kimaroroni.
 
Habari ziwafikie  wana ukoo wa Salema,Kirita,Kessy, Marangu na Nganjoni,ukoo wa Temu,ndugu jamaa na marafiki popote walipo.
Posted by MROKI On Monday, October 19, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo