Nafasi Ya Matangazo

February 04, 2015

 Meneja wa Kambi ya Lake Manze akiwaelekeza jambo washindi wa program ya Ndovu Golden Experience  iliyokuwa ikiendeshwa na TBL kupitia bia yake ya Ndovu walipokwenda kujionea vivutio mbalimbali katika mbuga hiyo mwishoni mwa wiki.
 Baadhi ya washindi wa program ya Ndovu Golden Experience iliyokuwa ikiendeshwa na TBL kupitia bia yake ya Ndovu wakirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kuzulu katika hifadhi ya Selous kwa siku mbili mwishoni mwa wiki.
Wakiwa katika utalii
Posted by MROKI On Wednesday, February 04, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo