Nafasi Ya Matangazo

February 04, 2015

Katibu wa Nchi kutoka Wizara  inayohusika na Masuala ya Uchumi na Nishati ya  Ujerumani  Mattias Machnig (kulia) akisisitiza jambo katika kikao kilichokutanisha  ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani na  Naibu  Waziri wa Nishati na Madini Charles Kitwanga kwa ajili ya kujifunza fursa za uwekezaji katika sekta za nishati na madini nchini.



Naibu Waziri wa Nishati na Madini Charles Kitwanga na Kaimu  Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava pamoja na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani  wakifuatilia kwa makini maelezo  yaliyokuwa yanatolewa na Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia masuala  ya umeme, Mhandisi Innocent Luoga ( aliyekaa mbele wa kwanza kushoto) juu ya  fursa za uwekezaji katika  sekta ndogo ya umeme.
Posted by MROKI On Wednesday, February 04, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo