Nafasi Ya Matangazo

January 22, 2015

 
Gari likipita katika barabara ya St Mary’s, Tabata  baada barabara hiyo  hiyo yenye urefu wa kilometa 1.6 kubomolewa baada ya ujenzi wake wa awali wa kiwango cha lami kulipuliwa na kuharibika ndani ya miezi michache chini ya mjenzi kampuni ya Del Monte (T), kwa Sh milioni 974 za Mfuko wa Barabara. Tangu ibomolewe barabara hiyo hadi sasa inapitika kwa shida na ujenzi umesimama. Picha za chini ni barabara hiyo kabla ya kubomolewa.
 
 
PICHA YA MAKTABA ikionesha Tuta la lami likiwa limeibuka katikati ya barabara ya St Mary’s, Tabata  wakati barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 1.6 ikiwa imejengwa miezi michache iliyopita na kampuni ya Del Monte (T), kwa Sh milioni 974 za Mfuko wa Barabara. Zipo taarifa kuwa Meya wa Manipaa ya Ilala, Jerry Slaa alishaagiza uchunguzi ufanyike lakini barabara hiyo ianzidi kuharibika.
Posted by MROKI On Thursday, January 22, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo