Timu ya Taifa ya Rwanda (Amavubi) Imewasili leo Jijini Mwanza, Januari 21 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Taifa Stars Maboresho itakayochezwa kesho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba hapa Mjini Mwanza.
Amavubi imetua na msafara wa watu 26, wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi na kufikia kwenye kwenye hoteli ya JB Belmont.
Mwandishi wa bukobasports.com nae alipata picha ya pamoja na Wachezaji wa Rwanda (AMAVUBI) leo hii jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.



0 comments:
Post a Comment