Nafasi Ya Matangazo

April 06, 2014

Mwonekano  wa  nyumba kwa  nyuma
Shimo  la  choo
Mwonekano  wa  mbele
Nyumba  hii  inauzwa kwa  kiasi  cha Tsh  milioni 14.5 maelewano  yapo  ina vyumba vinne  vya  kisasa kikiwemo  kimoja masta  ,choo na  bafu  ya  wageni stoo, sebure  kubwa na  sehemu ya  kulia  chakula pia shimo  la choo limechimbwa na kujengewa bado  kufunikwa ukubwa wa  eneo  urefu  futi 50 na upana futi 19 kwa mawasiliano  zaidi  tupigie 0754026299
Posted by MROKI On Sunday, April 06, 2014 1 comment

1 comment:

  1. iko maeneo gani elezea vizuri hujaona nyumba kama zinauzwa dar wanavyojielezea ninachokupongeza umeweka bei maana sisi watanzania kuweka bei hatunaga kitu ambacho ni mbaya mimi nataka nina milioni kumi cash ila nipe detail kimesajiliwa kipo wapi elezea mambo ya msingi na je kwanini unauza hivyo ni vitu vya msingi kujitangaza

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo