Waziri wa Kilimo Chakula
na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza
(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mmoja wa Wakulima wa mbogamboga waliopo
chini ya Wilaya ya Chamwino katika Viwanja vya Nzuguni, Dodoma jana juu namna
ya uhudumiaji wa shamba la nyanya linavyotakiwa kuhudumiwa ili kuml;etea faida
mkulima.
Mbuzi hawa huzaa mapacha kati ya 3-4 kila uzao.
Baadhi ya wakazi wa mji
wa Dodoma na vitongoji vyake wakiwa katika banda la Maonesho la Wizara ya Mali
asili na Utalii kujionea Kobe Mkubwa zaidi. Kobe huyo yupo Viwanja nya Nzuguni
Maonesho ya Kilimo Nane nane kitaifa yanayofanyika mjini Dodoma.
Twiga Bancorp Limited nao wapo na Wajasiriamali banda hili
Wadau Innocent Mungu kutoka TCRA, akiwa na Mdau, Titus Kaguo wa EWURA.
Mhandisi Mwandamizi wa Upimaji Magari kutoka
Wakala wa Barabara (Tanroad), Mhandisi. Joseph Rwihura akitoa maelekezo kwa
wanafunzi wa Shule ya Sokandari Nzuguguni mjini Dodom jana wakati wa maonesho
ya nane nane inyoendelea mjini Dodoma katika viwanja vya Nzuguni, Dodoma
0 comments:
Post a Comment