Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2013

Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk. Julius Masaga(kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, juu ya shughuli za taasisi za utafiti na uendelezaji wa tiba asili kwa ajili ya matumizi ya binadamu. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa NIMR, Coletha Njelekela na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Zamaradi Kawawa.
Posted by MROKI On Thursday, July 18, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo