Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2013

Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Moremi Marwa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya DSE kuungana na kampuni Mwananchi Communication Limited (MCL) na Kampuni ya KPMG kufadhili mradi ujulikanao kama Tanzania Top 100 wenye lengo la kuzitambua kampuni bora zenye mafanikio nchini.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Moremi Marwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya DSE kuungana na kampuni Mwananchi Communication Limited (MCL) na Kampuni ya KPMG kufadhili mradi ujulikanao kama Tanzania Top 100 wenye lengo la kuzitambua kampuni bora zenye mafanikio nchini. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Tido Mhando.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Moremi Marwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya DSE kuungana na kampuni Mwananchi Communication Limited (MCL) na Kampuni ya KPMG kufadhili mradi ujulikanao kama Tanzania Top 100 wenye lengo la kuzitambua kampuni bora zenye mafanikio nchini. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Tido Mhando.
Posted by MROKI On Thursday, July 18, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo