Nafasi Ya Matangazo

July 11, 2013


 Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Bi. Selina Agustine Mwita, kuwa Mjumbe wa Baraza la Maadili, wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Wajumbe wawili na Mwenyekiti, wa Baraza hilo, iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
 Baadhi ya Ndugu Jamaa na marafiki, na wafanyakazi wa Tume ya Maadili waliohudhuria hafla hiyo.
 Rais Kikwete na Makamu wake, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na walioapishwa kwa kumbukumbu.
Rais Kikwete, akiagana na watoto wa mmoja wa walioapishwa Bi. Selina Agustine (katikati yao) baada ya picha ya pamoja.
Posted by MROKI On Thursday, July 11, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo