Nafasi Ya Matangazo

October 18, 2012

 
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju akifungua kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, wa pili kushoto ni mwenyekiti wa Tume Jaji prof. Ibrahim Juma na kulia ni katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Winfrida Korosso akizungumza wakati wa ufunguzi wa baraza la wafanyakazi wa Tume.
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Tume Bw. Peter Kalonga.
Wajumbe wakiwa katika mkutano
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Prof Ibrahim Juma na wa pili kushoto ni Katibu mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso. wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi Bw. Fred Kandong
Posted by MROKI On Thursday, October 18, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo