Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama (kushoto) akimkabidhi msaada wa fedha taslimu sh. milioni moja mchezaji wa zamani wa Simba, Mtibwa na Taifa Stars, Alphonce Modest kwa ajili ya kumsaidia katika matibabu ya ugonjwa wa mifupa unaosababisha miguu kufa ganzi ‘yabisi baridi’. Modest nasumbuliwa na ugonjwa huo tangu mwaka 2011. Kwa yeyote anayeguswa na tatizo lake awasiliane na mtangazaji wa Chanel 10, Said Kilumanga (wa pili kulia) kwa kupitia namba 0718 427426. Wa Pili kushoto ni Mhariri Kiongozi wa Champion, Saleh Ally.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment