Nafasi Ya Matangazo

June 11, 2012

 Waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia, Prof. Makame Mbalawa (katikati) akisalimiana na Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza alipomtembelea katika ofisi za wizara hiyo. Pamoja nao ni Mwenyekiti wa makundi ya makampuni ya Vodacom Africa Peter Moyo.
 Mwenyekiti  wa makampuni ya Vodacom Peter Moyo (katikati) akisalimiana na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania Mheshimiwa Thanduyize Chiliza. Pamoja nao ni Afisa Mkuu wa Mahusiano ya Jamii Vodacom Tanzania Bi. Mwamvita Makamba
Posted by MROKI On Monday, June 11, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo