Nafasi Ya Matangazo

February 26, 2012

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akiwa katika Picha ya Pamoja na wajumbe wa Mkutano wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika unaofanyika katika Hotel ya Lake Tanganyika Mkoani Kigoma
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akifungua Mkutano wa Tano wa Wataalamu wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika unaoshirikisha Nchi Nne za Tanzania,Zambia,Congo na Burund. mkutano huo unfanyika kwenye Hotel ya Tanganyika Mkoani Kigoma .
Katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza na Mwenyekiti wa Mkutano wa Tano wa Ziwa Tanganyika Bw Adam Hussein wakati wa Ufunguzi huko Kwenye Hotel ya Lake Tanganyika Mkoani Kigoma.
Posted by MROKI On Sunday, February 26, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo