Nafasi Ya Matangazo

July 24, 2011

Mrembo Stellah Robert usiku wa Julai 23,2011 ametawazwa kuwa malkia wa Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaanm katika shindano la kukata na shoka.Stellah pia alikuwa ni Miss Dar Indian Ocean.
Posted by MROKI On Sunday, July 24, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo