Nafasi Ya Matangazo

May 15, 2011

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya SBC Tanzania Ltd,Ziad El Halil akizungumzia maendeleo makubwa yaliyopatikana katika kampuni hiyo inayotengeneza soda mbalimbali ikiwepo Pepsi,katika halfa ya kuadhimisha miaka 10 ya mafanikio,inayoendelea kufanyika hivi sasa katika viwanja vya Karimjee,jijini Dar.
 Mkuu wa Mauzo wa Kampuni ya SBC Tanzania Ltd,Rashid Chenja akitoa hotuba inayoelezea kwa ufupi kampuni ya SBC Tanzania Ltd,wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 10 ya kampuni hiyo hapa nchini.
 Mabosi wakuu wa Kampuni ya SBC Tanzania Ltd,toka kulia ni Mkurugenzi Mkuu,Ziad El Halil,Mkurugenzi wa Pepsi Cola,Rashid Mahmoud,Mwenyekiti wa Bodi,Faisal El Halil,Mtendaji Mkuu wa SBC,Mike Hunter pamoja na Mkuu wa Mauzo wa Kampuni ya SBC Tanzania Ltd,Rashid Chonjo wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa vyeti vya heshima kwa kuifanikisha kampuni hiyo.hafla hii inaendelea kufanyika hivi sasa katika viwanja vya Karimjee,jijini Dar.
 Msanii wa Ngoma za Asili hapa nchini,Wanne Star akiwasalimia Wafanyakazi wa Kampuni ya SBC Tanzania Ltd waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar mchana huu huku Mshehereshaji katika hafla hiyo,MC Godwin Gondwe a.k.a Double G akimsikiliza kwa makini.
 Keki na Shampeign kwaajili ya sherehe hiyo vikiwa mezani
 FM Academia nao walitoa burudani ya kufa paka...
Wafanyakzi wakiwa katika sherehe hiyo.
Posted by MROKI On Sunday, May 15, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo