Nafasi Ya Matangazo

June 30, 2010

Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akimkabidhi moja ya kati ya Vyandarua 1,300 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Iramba iliyopo Kiomboi DK.Anthony Mburu (katikati)Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Peter Mwagiro akishuhudia upokeaji huo wa Msaada ambao watagawiwa wagonjwa wote waliopo eneo hilo.
Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule (wa pili kushoto)akifurahia jambo na wauguzi wa hospitali ya Wilaya ya Iramba iliyopo Kiomboi Mkoani singida baaada ya kukabidhi msaada wa Vyandarua 1,300 katika mkoa huo vyenye thamani ya shilingi Milion 10 katika hospitali hiyo.
Meneja wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi moja kati ya 1,300 Esta Aron akiwa na mwanae mwenye umri wa miezi 6 Peter William ambaye ni mmoja wa Wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya akina mama katika hospitali ya Wilaya ya Iramba ilioko Kiomboi Singida mfuko huo ulitoa msaada wa jumla ya Vyandarua 1,300 katika mkoa huo.
Posted by MROKI On Wednesday, June 30, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo