Nafasi Ya Matangazo

June 28, 2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume, akipewa maelezo na Afisa msaidizi wa Tume ya Uchaguzi Wilaya ya Magharibi,Maalim Khamis Mussa,(wapili kulia) mara baada ya kukabidhiwa shahada ya kuandikishwa kuwa mpiga kura, katika kituo cha Skuli ya msingi ya Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja leo, (kulia) ni Afisa mwandikishaji kura za maoni wilaya ya magharibi Unguja,Ali Radhid Suluhu.
Posted by MROKI On Monday, June 28, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo