
Tukio hilo liltokea Usiku wa kuamkia leo majira ya saa 3 usiku na Pamoja na kuporwa vitu mbalimbli pia Bastola ya Mbunge huyo pia iliporwa.
Inaelezwa kuwa Luhaluha alijaribu kutumia bastola hiyo na kushindwa kupiga lakini majambazi walipoichukua waliitumia kupora magari mengine.
0 comments:
Post a Comment