Rais Jakaya Kikwete akizungumza akimjulia hali Mbunge wa Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro (kushoto) aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam baada ya kuugua shinikizo la damu juzi akiwa bungeni mjini Dodoma .
Posted by MROKI
On Saturday, April 24, 2010
No comments
0 comments:
Post a Comment