
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo ametia saini Sheria ya Matumizi ya fedha katika Uchaguzi mkuu.
Pichani ni Rai Kikwete akisanini sheria hiyo katika viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo asubuhi huku viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini wakishuhudia.
0 comments:
Post a Comment