Nafasi Ya Matangazo

December 16, 2009

Mwanamuziki kutoka Demokrasia ya Kongo Tshala Muana akipunga mkono baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam jana kwaajili ya onesho la Embassy Club E litakalofanyika ijumaa jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki kutoka Demokrasia ya Kongo Tshala Muana akiongozana na Meneja Msaidizi wa Sigara Embassy Eliza kilimbai (kushoto).
Posted by MROKI On Wednesday, December 16, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo