
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza msiba wa Mzee Rashid Mfaume Kawawa Simba wa Vita aliyefariki katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo asubuhi.

Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati akitangaza msiba wa Mzee Rashi Mfaume Kawawa Simba wa Vita Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Maombolezo siku 7 bendera kupepea nusu mlingoti.
Mambo ya Sheikh Yahya hayo.
ReplyDeleteAkitabirigi si mnamuonaga muongo nyinyi?
Sasa si mmeamini?