Nafasi Ya Matangazo

August 24, 2009

Mwanafunzi wa Chuo cha Kiislam cha An-nujumu, Pilli Abdallah, akisomakwa kukariri kutoka katika kitabu cha Quran JUZUU 20, wakati wa mashindano ya vyuo mbali mbali yaliyofanyika ktika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam jana.
Mwanafunzi wa Chuo cha Kiislam cha Hidayatul Alfal, Naima Othman, akisomakwa kukariri kutoka katika kitabu cha Quran(masaafu) JUZUU 10, wakati wa mashindano ya vyuo mbali mbali yaliyofanyika ktika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam jana.
Msenaji wa Kituo cha Ubarozi wa Iran, Mostafa Kanjibar,akimkabidhi Samira Ally,bahasha yenye fedha shilimgi elfu 40, baada ya kushinda kusoma juzuu 10, wakati wa mashindano ya kurani Tandika, jana.
Mkuu wa Shule ya Kiislamu ya Bilal Comprehensive, Mrs Siddika Karim, akifafanua jambowakati wa mashindano ya Kusoma Kurani ya Vijana kutoka Vyuo Mbalimbali vya Kiislamu,yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwembe Yanga, Dar es Salaam jana.ikiwa ni kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Mwanafunzi wa Chuo cha Kiislam cha Hidayatul Alfal, Nassoro Ally akisomakwa kukariri kutoka katika kitabu cha Quran(masaafu) JUZUU 20, wakati wa mashindano ya vyuo mbali mbali yaliyofanyika ktika Viwanja vya Mwembe YangaTandika, Dar es Salaam jana.
Posted by MROKI On Monday, August 24, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo