
wafugaji wa Ndungu wilayani same

Mfugaji wa Kijiji cha Ruvu wilayani Same akionesha mifugo iliyokufa kutokana na ukame. 2006

Eneo la makazi ya wafugaji Ndungu Likionekana kuwa kame na hakuna mifugo.

Mtoto wa Kimasai akiwamba ngozi katika kijiji cha Ruvu Wilayani Same.

Wakazi wa Makanya wakisubiri kugaiwa chakula cha msaada baada ya ukame kuyakumba maeneo mengi ya nchi mwaka 2006.
0 comments:
Post a Comment