Uongozi wa bendi hiyo umekanusha kuvunjika kwa bendi hiyo na badala yake ni kuwa DDC imetangaza kujitoa katika kundi hilo ambalo liliichukua tangu 1982 hivyo wao wanaendelea kupiga mziki kama awali lililopoanzishwa mwaka 1978.
Wapenzi na mashabiki wasihofu.






0 comments:
Post a Comment