
Afisa Udhamini na Mawasiliano wa Vodacom. Gerge Rwehumbiza akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya udhamini wao katika shindano la Bongo Star Search 2009 limalotaraji kuanza hivi karibuni. Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Bencmark waandaaji wa Shindalo hilo, Rita Paulsen.
0 comments:
Post a Comment