Nafasi Ya Matangazo

February 04, 2014

Leo ni Law Day, tunamsubiri mgeni Rasmi
Wanasheria wakimsubiri Mgeni Rasmi
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akiongoza Wanasheria katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere (kulia), akikagua Gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akijiandaa kukagua gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere, akijiandaa kukagua gwaride la Heshima katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi, Jaji Aisha Nyeyere (kushoto) akiwa na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, (kulia) ambaye ni mgeni mwalikwa katika

Siku ya Sheria tumependazaje leo

Baadhi ya Mawakili Mashuhuri katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Kamishna wa kamati ya Usuluhishi Taifa, Japhary Ally (kulia) akiwa na Mawakili wenzake katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Mwanasheria, wakili wa serikali,  Elizabeth Minde katika maadhimisho ya siku ya Sheria (Law Day), yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mahakama Kuu kanda ya Moshi
Posted by MROKI On Tuesday, February 04, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo