Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa (kushoto), akipokelewa na
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, alipowasili Ofisi ya
Makamu wa Rais zilizopo, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, Aprili 9, 2026
mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan, Aprili 8, 2026..jpg)
.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu
wa Rais, Mhe. Reuben Kwagilwa (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa Ofisi ya
Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (wa pili kutoka kushoto) mara baada ya
kuwasili ofisini Aprili 8, 2026. Wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu
(Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda (kulia) na Naibu
Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Mitawi.





.jpg)
.jpg)



0 comments:
Post a Comment