June 29, 2008
Mkuu 
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Betty Mkwasa (wapili kulia) akipeana mkono na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Korogwe - Magunga, Dk. Sister. Avelina Temba baada ya kukabidiwa msaada wa viti vya wagonjwa vyenye thamani ya sh milioni 2.5 kutoka Benki ya NMB. Kulia ni Meneja Uhusiano wa NMB, Shy-Rose Bhanji na Kushoto ni Meneja NMB kanda ya Kaskazini, Hilal Sudi.
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Betty Mkwasa (wapili kulia) akipeana mkono na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Korogwe - Magunga, Dk. Sister. Avelina Temba baada ya kukabidiwa msaada wa viti vya wagonjwa vyenye thamani ya sh milioni 2.5 kutoka Benki ya NMB. Kulia ni Meneja Uhusiano wa NMB, Shy-Rose Bhanji na Kushoto ni Meneja NMB kanda ya Kaskazini, Hilal Sudi.
June 28, 2008
June 23, 2008
Subscribe to:
Comments (Atom)



