Bibi Kidude nae alionyesha kwa staili yake ya kimwambao.
MC wa Chow hiyo Jocate
Ulikuwa ni usiku wa kukata na shoka kwa wavaaji wa khanga jijini Dar es Salaam waliposhuhudia mbunifumaarufu nchini Tanzania na Dunia, Mustafa Hassanali alipoonyesha mitindo mbalimbali iliyoshonwa kwa kutumia khanga.
0 comments:
Post a Comment