![](//4.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SF9yz9R_a0I/AAAAAAAAAIw/GcPV69ypSvE/s400/2.JPG)
Mbunifu wa mitindo Mustafa Hassanali akiwa na mkongwe wa muziki wa mwambao Bi Kidude ambaye pia alipanda jukwaani na kuonyesha mavazi ya khanga katika usioku wa Khangalicious.
![](//3.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SF9yz_zSCaI/AAAAAAAAAI4/yNXXfG6LDLg/s400/11.JPG)
Mwanamitindo mkongwe kuliko wote duniani, Bibi Kidude akipita jukwaani kuonyesha vazi la khanga lililobuniwa na mbunifu Mustafa Hassanali.
0 comments:
Post a Comment