Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea na wanahabari na kutoa majumuisho ya ziara yake ya siku nne mkoani Tabora. Pamopja naye ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dr Jafaa Seif (kulia) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Tasisi ya JMKF Bi. Vanessa Anyoti. Mkutano huo ulifanyika katika hoteli ya Orion Tabora hotel jioni ya Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea na wanahabari na kutoa majumuisho ya ziara yake ya siku nne mkoani Tabora. Pamopja naye ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dr Jafaa Seif (kulia) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Tasisi ya JMKF Bi. Vanessa Anyoti. Mkutano huo ulifanyika katika hoteli ya Orion Tabora hotel jioni ya Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na wananchi wakati akikukagua zahanati na nyumba mbili za wafanyakazi zilizopo kijiji cha Gengesita, Kata ya Kizengi, Wilaya ya Uyui Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akitembelea na kukagua zahanati na nyumba mbili za wafanyakazi zilizopo kijiji cha Gengesita, Kata ya Kizengi, Wilaya ya Uyui Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akitembelea na kukagua zahanati na nyumba mbili za wafanyakazi zilizopo kijiji cha Gengesita, Kata ya Kizengi, Wilaya ya Uyui Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akitembelea na kukagua zahanati na nyumba mbili za wafanyakazi zilizopo kijiji cha Gengesita, Kata ya Kizengi, Wilaya ya Uyui Jumatatu Septemba 14, 2026
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa JMKF, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akitembelea na kukagua zahanati na nyumba mbili za wafanyakazi zilizopo kijiji cha Gengesita, Kata ya Kizengi, Wilaya ya Uyui Jumatatu Septemba 14, 2026

















0 comments:
Post a Comment